bokoboko na mchuzi wake, (chakula chetu asili) lazma siku ya eid kipikwe asubuh(mpishi yasmiin)
kideko wangu Rahim Junaid a.k.a abuuuuy
Faa na Junaid
Nasira(cuzn) na Yasmiin (double cuzn)
Biriani ndo ilikuwa Lunch,limepikwa na Saqeena a.k.a mama Abra
Saqeena a.k.a mama Abra
Double cuzn
Layan na Junaid
mwisho ikawa rusha roho
nikijiachiaa
Wednesday 31 August 2011
Monday 29 August 2011
Eid mubaraaqq kwa woote
Tunamshukuru mwenyez mungu tumeumaliza mwezi mtukufu wa ramadhaan salama,allah atupokelee dua zetu na atukubalie swaum zetu na atuweke tuzidi kupata na Ramadhaan zijazo Amiyna!
Saturday 27 August 2011
Friday 26 August 2011
Wednesday 24 August 2011
Subscribe to:
Posts (Atom)