Pages

Ads 468x60px

Wednesday 25 July 2012

Saturday 21 July 2012

CAR 4 SALE!!!


undefined

undefined



MITSUBISHI SHOGUN WARRIOR GDI AUTO

SILVER SHORT WHEEL BASE 3

Door Estate, Silver, Petrol, Automatic, Electrically adjustable

 drivers seat, Alloy wheels, Body coloured bumpers, Trip

computer, Rear wiper, Heated front seat. EXCELLENT

CONDITION,  Safety Features: 4-Wheel Drive, Alarm, Anti-

Lock Brakes (ABS), Driver Airbag, Electronic Stability

Program (ESP), Immobiliser, Passenger Airbag, Rear seat

belts Year: 2003 Exterior: Alloy Wheels, Rear Spoiler, Tow

 Bar  Interior/Comfort Options: Air Conditioning, Climate

 Control, Cruise Control, Electric heated seats, Leather Seats,

  Power Locks, Power Seats, Power Windows, Tilt Steering

Wheel Engine Size: 3500 cc In-Car Audio: CD Player.

Interested please call Fawz +255784751762 or Khamisy on +255774540053 emaillucaskitojo@gmail.com

Thursday 19 July 2012

HONGERA SAANA SIS...................ERICA KASSARA



Erica na hubby 'mzee wa kazi MOHSIN'
ERICA KASSARA AMETWAA NONDO YA MASTERS OF ART KUTOKA KENT UNIVERSITY  HAPA UK

Monday 16 July 2012

CARS FOR SALE "DISCOVERY 3'.



undefined
undefined

undefined

undefined



undefined

5 Doors, Automatic, Station Wagon, Diesel, . ABS,

Alloy wheels, Cruise control, CD Multichanger, Air 

conditioning, Park distance control, boardcomputer, Sunroof
,
 Electric Seat Memory, tiptronic, leather interior, Electrically 

adjustable seats, Leather seats, Heated seats, Climate Control,

Colour coding - Interior, Electric windows, Electric mirrors,

 Colour coding - Body, Adjustable steering column/wheel,

Electric sunroof, Folding rear seats, Lumbar support,

 Navigation system, Radio/CD Multichanger, Rear headrests,

 Traction control, Remote central locking, Alarm, Reverse 

parking aid, Height adjustable drivers seat, Electrically 

adjustable drivers seat, Electric door mirrors, Electrically

adjustable passenger seat, Full size spare wheel, Leather seat

trim, Audio remote control, Front electric windows, Metallic

 Paint, Rear electric windows, Heated door mirrors, Multi 

function steering wheel. XENONS, SIDE STEPS, SAT NAV, 7 

SEATS, FULL LEATHER, ELECTRIC HEATED MEMORY

 SEATS, LOVELY CAR, THROUGHOUT

undefined

undefined
undefined
undefined

undefined

Interested please call Fawz +255784751762 or Khamisy on +255774540053email lucaskitojo@gmail.com



Sunday 15 July 2012

BRIGITA ALFRED ................... MISS SINZA 2012



  Brigita Alfred (katikati) akipunga mkono kwa furaha wakati akiwa na washindi wenzake, mshindi wa pili Judith Sangu (kushoto) na watatu Esther Mussa, baada ya kutangazwa washindi katika shindano hilo lililofanyika usiku wa kuamkia leo katika Ukumbi wa Mawela Social, Sinza Jijini Dar es Salaam.

Wednesday 11 July 2012

MKUU WA WILAYA MPYA YA KALAMBO MKOANI RUKWA APOKELEWA KWA SHANGWE

MKUU wa wilaya mpya ya Kalambo Mkoa wa Rukwa Moshi MussaChang’a amewaagiza viongozi wa kata za wilaya hiyo kuhakikisha wanawachukuliahatua kali za kisheria wazazi wa wanafunzi ambao walifaulu na kuchaguliwa kuingiakidato cha kwanza mwaka huu lakini hawajaripoti shuleni mpaka sasa ambapomuhula wa kwanza masomo umemalizika.

undefined
Chang’a ametoa maagizo hayo katika ziara yake yakujitambulisha katika wilaya hiyo ambapo anatembelea kata zote 17 za wilaya yaKalambo iliyozaliwa baada ya ya wilaya mama ya Sumbawanga kugawanywa.

Katika maagizo yake, Chang’a pia amewataka viongozi haowanafunzi ambao hawakuripo mpaka sasa, wanaripoti shuleni mara baada ya shuleza sekondari kufunguliwa mapema mwezi Julai, ambapo katika kata ya Kasangailiyopo mwambao wa ziwa Tanganyikawanafunzi 40 hawakuripoti kidato cha kwanza kati ya 80 waliochaguliwa ikiwa nisawa na asilimia 50, huku wengine 56 wakishindwa kuripoti katika Kata ya Mkowe.

“Katika hili la elimu sitaki mchezo kabisa…ni bora tuonanewabaya kwa sababu kumkosesha mtoto elimu ni sawa na kumuua” alisema Mkuu huyo wa wilaya ambapo aliwatakawatendaji wa Kata na Vijiji kushirikiana na walimu wakuu wa shule za sekondarikumaliza tatizo hilomara moja.

Mkuu huyo wa wilaya ameanza ziara hiyo siku mbili tu baadaya kuripoti katika kituo chake cha kazi, ambapo amekuwa akiwaeleza wakazi wawilaya hiyo utajiri wa fursa zilizopo na kuwataka wazitumie kwa ipasavyo ilizisaidie kuleta maendeleo ya haraka ndani na nje wilaya hiyo.

Amezitaja baadhi ya fursa za kiuchumi kuwa ni pamoja naKilimo cha mazao mbalimbali kama vile mahindi, alizeti,maharage, mihogo, napamoja na ufugaji wa nyuki kwa njia ya kisasa kwa kuweka mizinga ya nyukikuzunguka mashamba ya alizeti ili wasadie kuchavusha alizeti na pia kupataasali nyeupe ambayo bei yake ni kubwa katika soko la dunia.

“Asali nyeupe ni utajiri mkubwa kwa sasa, kuna makampuniyanayoinunua kwa bei ya shilingi 150,000 kwa lita moja tu…na mimi ninamawasiliano na makampuni haya kwa hiyo nawapa hii changamoto, kila mkulimaatakayelima alizeti aweke na mizinga ya nyuki kuzunguka shamba lake”alisisitiza.

Kwa upande wao, wakazi wa wilaya hiyo wamemwelezea Mkuu wawilaya yao kuwa tumaini jipya katika kuletamaendeleo ya wilaya yaona kwamba watashirikiana naye katika kuchapa kazi, huku wakiishukuru Serikalikukubali ombi la kuwapatia wilaya hiyo.

Friday 6 July 2012

KONA YA MAPISHI

                     Samaki Na Rojo La Koliflawa




Vipimo         
Samaki nguru (king fish)                                         6 Vipande au wazima
Thomu na tangawizi ya kusaga                                   1 kijiko cha supu
Chumvi                                                                      kiasi
Pilipili nyekundu  ya unga                                            2 vijiko vya chai
Bizari ya samaki (au yoyote upendayo)                     1 kijiko cha chai
Ndimu                                                                       3 vijiko vya supu
Mafuta ya kukaangia
Koliflawa                                                                ½  
Viazi                                                                        4
Vitunguu                                                                  3
Nyanya                                                                   4
Nyanya kopo                                                          2 vijiko vya supu
Pilipili mbichi                                                            3
Pipilipili manga                                                         1 kijiko cha chai
Chumvi                                                                   kiasi
Mafuta ya Kupikia                                                   Kiasi
Namna Ya Kutayarisha Na Kupika samaki:
  1. Changanya vitu vyote katika bakuli ufanye lahamu (paste) ya kupakia samaki.
  2. Paka samaki lahamu kisha mroweke  kwa muda mdogo tu.
  3. Kaanga samaki kisha weka kando.
Rojo La Koliflawa:
1.       Chambua koliflawa kisha panga katika treya ya kupikia ndani ya oveni.
2.       Nyunyizia chumvi na pilipili ya unga kidogo tu, kisha pika kwa moto wa kiasi 350° F  kwa muda mdogo tu kiasi yaive nusu yake tu. Epua na weka kando.
3.       Menya na katakata viazi vya mviringo ukaange katika mafuta, toa weka kando.
4.      Katika karai nyingine, tia mafuta vijiko viwili vya supu, kaanga vitunguu vilokatwakatwa hadi vigeuke rangi ya hudhurungi (brown) isiyokoza.
5.       Katakata nyanya, pilipilii mbichi, kaanga pamoja na vitunguu.
6.       Tia nyanya kopo, chumvi, pilipili manga, changanya vizuri.
7.       Tia maji kiasi robo kikombe uchanganye iwe sosi.
8.       Tia koliflawa na viazi changanya kidogo tu.
9.       Panga samaki katika chombo au sahani ya kupakulia.
10.    Mwagia sosi juu yake ikiwa tayari kuliwa kwa wali au mkate.
  Kidokezo: 
Samaki ukipenda mchome (bake/grill) katike oveni . Ikiwa utamchoma (bake) unaweza kumchoma pamoja na koliflawa.