Pages

Ads 468x60px

Sunday, 22 January 2012

ENGAGEMENT YA BAI MUSSA ILIVYOKUWA ........@COVENTRY

                                                 Bai akionesha pete yake kitu Almas
                                                           Bai akiwa na mkwe mtarajiwa
                                                                 Bai na anti Key
                                                        na mzaa chema........luvly
                                                       Hongera sana mamiyyy

Friday, 20 January 2012

'SUMBAWANGA NGA'RA 2012' YAZINDULIWA NA MKUU WA MKOA

Mbunge wa sumbawanga mjini Aeshi hilali akisafisha mtaro katika uzinduzi wa kampeni hiyo
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Injinia Stella Manyanya (katikati) akifagia kwenye moja ya barabara za Mji wa Sumbawanga Mkoani humo jana katika uzinduzi wa kampeni ya kusafisha Mji huo ijulikanayo kama "SUMBAWANGA NG'ARA 2012". Wanaojumuika naye kwenye usafi huo ni Mkuu wa Wilaya ya Sumbawanga Kanali John Antonyo Mzurikwao na Mkurugenzi wa Manispaa ya Sumbawanga Samwel Simwela.

                                                     Paparazzi nao walikuwepo

Wednesday, 18 January 2012


DRESSED BY UNIQUE PEARL COLLECTION

                                                    Nargis ndani ya top toka UPC

Monday, 16 January 2012

MTANGAZAJI WA TIMES FM BWANA SHABANI KONDO ALIPOAMUA KUUACHA UKAPERA

NDOA YAKE NA BI FATMA ILIKUWA TANGA







MAULID ILIFANYIKA ARUSHA
                                                                    Bi Fatma
                                                             Mr & Mrs Shabani Kondo

EM EM GROUP WATOA MSAADA KWA KINA MAMA WAHANGA WA MAFURIKO KITUO CHA BENJAMIN MKAPA

Kanaki, Kulwa na Joyce Kiria wakikabidhi misaada kwa ajili ya kina mama wahanga wa mafuriko.
                                           wakina mama wakipokea misaada yao.
                                                    Kulwa na mama muhanga
                                 Kanaki akiwa na mtoto mchanga kutoka kituoni hapo.