Pages

Ads 468x60px

Thursday 23 February 2012

PICHA YA LEO

Mbunge wa Su7mbawanga mjini Mh Aeshi hilal alipotembelea ikulu leo, akiwasilisha matatizo ya wananchi wake kwa mh Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

TUNDAMAN!!! GLASGOW 24th & COVENTRY 25th at PALMS Bar..

 

Thursday 16 February 2012


MZEE YUSUF AKARIBISHWA VALENTINE'S DINNER NA KUTUNIKIWA ZAWADI NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE

undefined
Mwimbaji na Mkurugenzi wa Jahazi Modern Taarab, Mzee Yusuf, akaribishwa rasmi valentines dinner, nyumbani kwa Missy Temeke na kutunukiwa zawadi mbali mbali na wakaazi wa Maryland kwa hisani kubwa ya kutumbuiza siku ya jumamosi ya Feb 5, 2012 ndani ya  Washington DC Nchini Marekani.

Bi Moza Kiwa na Mdhamini wa pendo lake Mr Sarai M. Sarai  katika mpango mzima wa kumkaribisha rasmi Mflame wa mipasho. na kuifanya sherehe hiyo ya aina yake.

undefined  
Auntie Rehema na walikwa mbali mbali walihudhuria katika tafrija hiyo aliondaliwa Mfalme wa mipasho Mzee Yusuf kutoka nchini Tanzania, picha ya pili Waheeda Margaret akiwa ameshikilia chupa ya champagne kwaajili ya kufungua valentines dinner hiyo ilioandaliwa rasmi jana Jumunne nyumbani kwa  Missy Temeke Castlehedge Silver Spring Maryland Nchini marekani.

Sophia Mmombasa, Bi Moza Binty Khamis , Missy Temeke na Salma Jay Jay katika mpango mzima wa valentines dinner,Jumanne ya wapendanao Feb, 2012


Deddy Rouba, 'kushoto'  akiwa na Sophia Mmombasa, kulia wakipata flash ya pamoja na muimbaji maarufu Nchini Tanzania kwa jina la Mflame wa mipacho Mzee Yusuf, katikati wakiwa kwenye valentines dinner ilioandaliwa na Sophia Mmombasa na Missy Temeke jana Feb 14, 2012 ndani ya Silver Spring Maryland Nchini Marekani. 

Mzee Yusuf wamipasho akipata flash ya pamoja na Missy Tameke  pamoja na mdhamini wa pendo la Missy Temeke Mr Matope Jana jumanne katika sherehe ya chakula cha usiku wa wapendanao, ndani ya nyumba yao.




Vyakula vilioandaliwa kwenye valentines dinner vyanukisha ukumbi kwa ladha na utamu wanyumbani.

Hivyo ndivyo hali halisi ilivyokuwa ndani ya mualiko rasmi wa Mfalme Mzee Yusuf pamoja na wakaazi wa Washington Dc kwa kumpongeza rasmi juu ya uimbaji wake, na uchangamvua wake anapokuwa katika jukwa na kupendezesha ukumbi.




 Missy Temeke akimtunuku zawadi Mzee Yusuf 

Sophia Mmombasa amtunuku zawadi mke wa Mzee Yusuf  ya nyimbo kibwagezo chake kinasema, sina mda huo, yakuka vipembeni na kumdiskasi mtu mda nilonao ni wakutafuta riski ya kutia mdomoni, hiyo ni amana aliopewa na sophia kumfikishia mdhamini wake wapendo Bi Leyla Rashid. 


Salma Jay Jay akimtunuku zawadi Mzee Yusuf

Mzee Yusuf akitunzwa Rose Champagne kwenye valentines dinner iliofanyika jumanne ya Feb 14, 2012 ndani ya nyumba ya Missy Tameke Silver Spring Maryland Chini Marekani.


Salma Jay Jay akimtunuku zawadi Mzee Yusuf

Mzee Yusuf akitunzwa Rose Champagne kwenye valentines dinner iliofanyika jumanne ya Feb 14, 2012 ndani ya nyumba ya Missy Tameke Silver Spring Maryland Chini Marekani.

habari na picha shukraan swahilivilla blogspot

HAPPY B.DEI .................ma young cs SALHA AFLAH


Wednesday 15 February 2012

IBM READING ........................ILIVYOKUWA




                                      akiripori kutoka Reading ni my shostii ........Aisha