Pages

Ads 468x60px

Sunday 5 February 2012

MIAKA 35 YA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM)

  Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na mtoto Maganga mwenye umri wa miaka 3 alipotua jana kwenye uwanja wa     ndege Mwanza ajili ya kusherehekea miaka 35 ya CCM
                      Rais akipokewa jana uwanja wa ndege Mwanza
Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Kikwete na mama Salma wakiongoza matembezi ya miaka 35 ya chama cha mapinduzi kutoka ofisi ya CCM mkoa hadi viwanja vya Furahisha jijini Mwanza

Picha thenx Global Publishers

No comments: