Pages

Ads 468x60px

Thursday 29 March 2012

PICHA YA LEO

Mbunge Wa Sumbawanga mjini Aeshi hilally akizungumza na Makada Wa Chama cha mapinduzi kata ya Maji ya chai kijiji cha kitefu katika jimbo la arumeru mashariki kuwahamasisha wajitokeze kwa wing siku ya tarehe 1/4/2012 kupiga kura kumchagua sioi solomoni sumari kuwa mbunge Wa arumeru masharik

No comments: