Pages

Ads 468x60px

Wednesday 8 August 2012

TAWI LA CHADEMA LONDON LAZINDULIWA NA VIONGOZI WA MPITO WACHAGULIWA

 Kamanda Godbless Lema akiongea machache wakati wa uzinduzi wa tawi la CHADEMA jijini London nchini Uingereza
 Mwenyekiti wa tawi la Chadema London Kamanda Chris Lukosi akimwaga sera zake wakati wa    uzinduzi huo
                       Kamanda Dr Alex ambae ni mweka hazina akimwaga sera zake
                                   Makamu mwenyekiti Liberatus akichukua minutes
                                    Katibu wa vijana Emanuel Lunyama akimwaga sera
 Jessica Maduhu mwenyekiti wa baraza la wanawake CHADEMA tawi la London akimwaga sera
Margareth katibu wa wanawake CHADEMA tawi la London akiongea machache

Kwa habari zaidi www.jestin-george.com

No comments: