Baadhi ya wanafunzi 
wa shule ya msingi waliokutwa na Kamera yetu wakifurahia ujio wa barabara za 
lami zinazoendelea kujengwa Mkoani Rukwa zikiunganisha Mkoa huo na Mikoa ya 
Mbeya na Katavi.
Baadhi ya wakandarasi 
wanaojenga barabara ya Laela-Sumbawanga wakiwa kazini. Kwa sasa kasi ya ujenzi 
wa barabara za Tunduma-Ikana, Ikana-Laela, Laela-Sumbawanga, na 
Sumbawanga-Kasanga imeongezeka ikilinganishwa na hapo awali.
Picha na habari shukraan ofisi ya mkuu wa mkoa Rukwa
 



 












































 
 
 
 
 
 
 
 
