Pages

Ads 468x60px

Sunday 30 September 2012

BARABARA ZA LAMI ZINAZOENDELEA KUJENGWA MKOANI RUKWA TUMAINI JIPYA KWA WAKAZI WA MKOA HUO

Baadhi ya wanafunzi wa shule ya msingi waliokutwa na Kamera yetu wakifurahia ujio wa barabara za lami zinazoendelea kujengwa Mkoani Rukwa zikiunganisha Mkoa huo na Mikoa ya Mbeya na Katavi.
Baadhi ya wakandarasi wanaojenga barabara ya Laela-Sumbawanga wakiwa kazini. Kwa sasa kasi ya ujenzi wa barabara za Tunduma-Ikana, Ikana-Laela, Laela-Sumbawanga, na Sumbawanga-Kasanga imeongezeka ikilinganishwa na hapo awali.


Picha na habari shukraan ofisi ya mkuu wa mkoa Rukwa

No comments: