Pages

Ads 468x60px

Saturday 2 June 2012

MISS TZ SALHA ISRAEL AFUNGUA DUKA LA MAVAZI LA 'MICHELE FASHION' DSM

 Miss Tanzania Salha Israel (my bint) akikabidhi zawadi kwa mwandishi wa habari wa TBC Angela Michael mara baada ya kufungua duka la nguo la Michelle Fashion lililopo kwenye jengo jipya la PSPF katika mtaa wa Ohio jijini Dar es salaam leo, Duka hilo ndiyo mdhamini wa Miss Tanzania mmwaka huu kwa upande wa mavazi.
                                                  Nguo mbalimbali za kike katika duka hilo
                     Baadhi ya wafanyakazi wa duka hilo wakiwa katika picha ya pamoja.
 Katibu Mkuu wa Kamati ya Miss Tanzania Bosco Majaliwa akizungumza katika duka hilo mara baada ya kuzinduliwa kushoto ni Miss Tanzania Salha Israel.
 Miss Tanzania Salha Israel akiangalia nguo mbalimbali katika duka hilo mara baada ya kufungua rasmi.
Miss Tanzania 2011 akiwa tayari kwa kugawa zawadi kwa waandishi wa habari mara baada ya kufungua duka hilo.


habari na picha thenx father kidevu

No comments: