Pages

Ads 468x60px

Saturday, 16 June 2012

Matilda Martin ndie Redd's Miss Dar City Center 2012

Redd's Miss Dar City Center 2012,Matilda Martin (katikati) akiwa na mshindi wa pili wa taji hilo,Magdalena Munisi (kushoto) na Mshindi wa tatu,Witness Michael muda mfupi baada ya kutangazwa kwa washindi hawa katika shindano lililomalizika usiku huu kwenye ukumbi wa hoteli ya Golden Tulip,Jijini Dar es Salaam.

picha thenx father kidevu

Wednesday, 13 June 2012

HAPPI B.DEI...............SWAUMU


                                                  Hapa ndiyo itakuwa mambo yooteee

Tuesday, 12 June 2012

SAKINA ....@BRITISH MUSEUM,,,,,,,,,,,LONDON


                                                  Nimevutiwa na ujumbe hapo

                                                             kitu full madini

KONA YA MAPISHI

Nyanya Za Mshumuaa/Chungu/Ngogwe Za Nazi 

  


Vipimo
Nyanya chungu                                   20-25
Tui la nazi                                         1 ½  kikombe
Kitunguu maji                                    ½
Tungule (Nyanya)                               2
Kitunguu Thomu                                 1 kijiko cha sukari
Bizari                                                ¼ kijiko
Chumvi                                              kiasi

Namna Ya Kutayarisha Na Kupika
1.     Kosha nyanya chungu kisha zimenye uzipasue kati kati kwa urefu, itasaidia kuona kama hakuna wadudu ndani.

2.     Kata kitunguu maji vipande vidogo vidogo, menya tungule maganda ukate pia.

3.     Kwenye sufuria changanya vitu vyote , weka jikoni upike.

4.     Ikikaribia tui kukauka epua.

5.     Pakua kwa kijiko moja moja ili zisivurugike weka kwenye sahani tayari kuliwa

WEMA SEPETU....... AMILIKI MJENGO WENYE THAMANI YA MILIONI 400






Wednesday, 6 June 2012

USIKOSE KUANGALIA ''THE MBONI SHOW'' KESHO

                        Mboni Masimba
Je! Mke au Mume Waweza Kumpata DISCO? Baasi usikose "The Mboni Show" kujua undani wa swala hili
                                        Baadhi ya waalikwa


Mboni akiwa mbele ya baadhi ya waalikwa katika ''the mboni show''


Habari na picha thenx       thembonishow

Tuesday, 5 June 2012

'QUEEN DIAMOND JUBILEE 2012' ILIVYOSHEREHEKEWA NA WATOTO

                                                         Faiza a.k.a baby Faa



                                                     Akiwa na wenzie pamoja na Mayor





NIA



DAWOOD


                                               hapitwi mtu...............LAYAN

SPORAH ALIPOTEMBELEA NYUMBANI KWA LULU''..maamaa wa Unique Pearl Collection..

                                                 Sporah na familia nzima
                                                         Sandra na Sporah
                                                           Sporah na Sarah

                                                               Daaad na maaaam
                                                        My braza na Sporah
kwa habari zaidi na picha ingia www.sporah.com

Saturday, 2 June 2012

MISS TZ SALHA ISRAEL AFUNGUA DUKA LA MAVAZI LA 'MICHELE FASHION' DSM

 Miss Tanzania Salha Israel (my bint) akikabidhi zawadi kwa mwandishi wa habari wa TBC Angela Michael mara baada ya kufungua duka la nguo la Michelle Fashion lililopo kwenye jengo jipya la PSPF katika mtaa wa Ohio jijini Dar es salaam leo, Duka hilo ndiyo mdhamini wa Miss Tanzania mmwaka huu kwa upande wa mavazi.
                                                  Nguo mbalimbali za kike katika duka hilo
                     Baadhi ya wafanyakazi wa duka hilo wakiwa katika picha ya pamoja.
 Katibu Mkuu wa Kamati ya Miss Tanzania Bosco Majaliwa akizungumza katika duka hilo mara baada ya kuzinduliwa kushoto ni Miss Tanzania Salha Israel.
 Miss Tanzania Salha Israel akiangalia nguo mbalimbali katika duka hilo mara baada ya kufungua rasmi.
Miss Tanzania 2011 akiwa tayari kwa kugawa zawadi kwa waandishi wa habari mara baada ya kufungua duka hilo.


habari na picha thenx father kidevu

NOELA NDIYE REDDS MISS TABATA 2012

    Redds Miss Tabata 2012, Noela Michael akipunga mkono kwa furaha baada ya kuvikwa taji hilo usiku wa kuamkia leo kwa kuwashinda warembo wengine 17 waliokuwa wakiwania pamoja taji hilo. Miss Tabata 2012 ilifanyika katika Ukumbi wa Dar West Park Tabata jijini Dar es Salaam na kushuhudia na mamia ya watu, huku burudani zikitoka kwa kundi la Mashujaa Musica na Mashauzi Classic.
 Redds Miss Tabata Noela Michael (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na washindi wenzake wa hatua ya tatu bora. Kulia ni mshindi wa tatu na kushoto ni Mshindi wa pili Susan Deodatus. Shindano hilo lilishirikisha warembo 18.
     Redds Miss Tabata Noela Michael (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na washindi wenzake wa hatua ya tano bora na ambao wote wamefanikiwa kupata tiketi ya kuingia katika shindano la Kanda ya Ilala, Miss Ilala 2012. Kushoto ni mshindi wa tano Filos Lemy, Mshindi wa pili Susan Deodatus, Miss Tabata, Mshindi wa tatu na mshindi wan ne, Willemina Mvungi.


Pcha na habarr thenx father kidevu