Pages

Ads 468x60px

Thursday 15 December 2011

VODACOM MISS TANZANIA 2011 AKABIDHIWA GARI LAKE LEO

 Vodacom miss Tanzania Salha Israel akipokea funguo ya gari aina ya jeep patriot lenye thamani ya shilingi milioni 72 ,kutoka kwa meneja matukio na udhamini wa kampuni ya vodacom Tanzania Rukia Mtingwa
                                         Salha akionyesha ufunguo wa gari
    Salha (my binti) akiondoka na gari lake mara baada ya kukabidhiwa (kwenye kona nshaaaaa)

PICHA AKHSANTE  MICHUZI

No comments: